Luke 15:1-2

Mfano Wa Kondoo Aliyepotea

(Mathayo 18:12-14)

1 aBasi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Isa. 2 bLakini Mafarisayo na walimu wa sheria wakanung’unika wakisema, “Huyu mtu anawakaribisha wenye dhambi na kula nao.”

Copyright information for SwhKC